STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 13 Agosti 2015

DE GEA HACHEZI MECHI IJAYO DHIDI YA ASTON VILLA ASEMA VAN GAAL


Kipa ambaye  anatakiwa kwa hamu kubwa na Real Madrid bado ataendelea kukaa benchi kwenye mechi ijayo dhidi ya Aston Villa kama ilivyokuwa kwenye mchezo wa ufunguzi.
Licha ya De Gea kusema kwamba yupo tayari kucheza kwa sasa, lakini kocha wake, Louis Van Gaal amesema kwamba hatacheza kwenye mechi ijayo. 
De Gea atakosa hiyo safari kwasababu bado yupo kwenye hali ile ile iliyosababisha kukosa namba mechi ya kwanza ambayo ni kutokuwa sawa kisaikolojia.
De Gea anahusishwa sana na kuhama klabu ya Manchester United na Kwasababu kipindi cha usajili bado kipo, basi kipa huyo yupo kwenye tatizo hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox