STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 13 Agosti 2015

WANASOKA WATATU WENYE FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM .........


Mtandao wa Instagram ni maarufu sana hivi sasa. karibia kila mtu maarufu anatumia mtandao huu. 
Hivi karibuni mtandao wa cosmopolitan.com ulitoa orodha ya watu maarufu wenye followers(wafuasi) wengi kwenye Instagram.
Kwenye hiyo orodha  mwanamuziki Beyonce anaongoza kwa kuwa na wafuasi milioni 42.7. 
Lakini kwa upande wa soka namba moja ni Neymar ambaye ana likes Milioni 29.4. Kwenye list ya dunia Neymar yupo namba 10.
Namba mbili kwa upande wa wanasoka ni Cristiano Ronaldo ana wafuasi Milioni 26.1, kwa upande wa dunia yupo nafasi 13.
Namba tatu kwa upande wa wanasoka ni Leo Messi ana wafuasi Millioni 22.3 na kwa dunia yupo namba 18.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox