STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

MATOKEO, TAKWIMU NA VIDEO YA MAGOLI YA MANCHESTER CITY DHIDI YA CHELSEA


Manchester City imetumia vyema uwanja wake wa nyumbani wa Etihad baada ya kuwanyuka 3-0 mabingwa watetezi wa ligi kuu soka nchini England, Chelsea chini ya kocha wake, Jose Mourinho.


Sergio Aguero alianza kuifungia goli Man City dakika ya 31 akimalizia pasi safi ya Muivory Coast, Yaya Toure.


Nahodha wa City, Vicent Company alitia kambani bao la pili dakika ya 79 baada ya kazi nzuri ya David Silva.

Mbrazil, Fernandinho aliandika chuma cha tatu katika dakika ya 85 baada ya kusetiwa na David Silva.

TAKWIMU ZA MECHI 


CHINI NI GOLI LA SERGIO AGUERO


CHINI NI GOLI LA VICENT COMPANY 



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox