STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 26 Agosti 2015

ROONEY AFUNGUA UKURASA KWA KISHINDO MANCHESTER IKIFANYA MAUAJI.....................

TIMU ya Manchester United imeibuka na ushindi wa ugenini wa mabao 4-0 dhidi ya Bruges katika mechi ya mchujo kuwania kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. 





United sasa inafuzu hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla wa 7-1 baada ya awali kushinda 3-1 nyumbani.

Nahodha Wayne Rooney alifunga mabao matatau katika dakika ya 20, 49 na 57, wakati bao lingine la Mashetani hao Wekundu lilifungwa na Ander Herrera.



United ingeweza kuondoka ushindi mnono zaidi kama Javier Hernandez ‘Chicharito’ asingekosa penalty kipindi cha pili Uwanja wa Jan Breydel.





Kikosi cha Bruges kilikuwa; Bolat, De Fauw, Castelletto, Duarte, De Bock, Claudemir, Vormer, Vazquez/Vanaken dk62, Bolingoli Mbombo/Cools dk76, De Sutter, Diaby/Dierckx dk63.

Manchester United; Romero, Darmian, Smalling, Blind, Shaw, Carrick, Herrera/Hernandez dk64, Mata/Young dk62, Schweinsteiger dk46.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox