Katika maandalizi ya kurudi langoni Kaseja ametengeneza viatu maalum kwa ajili yake hivyo usishangae kumuona akiwa langoni na viatu vyenye jina lake Kaseja Coper 1 pamoja na gloves.
Ingawa mkongwe huyo amegoma kutaja gharama ya aliotumia kutengeneza viatu hivyo.
Kaseja ambaye amewahi kupatiwa jina la Tanzania One kutokana na umahiri wake awapo langoni amesajiliwa na klabu ya Mbeya City baada ya kuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi zaidi ya sita.
Alipo ulizwa kama ni mpango wake kufanya
biashara ya vifaa vya michezo kwa kutumia jina lake jibu ni kuwa
ametengeneza kwa ajili yake pekee.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni