STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 20 Agosti 2015

TIZAMA JUMBA LA KIFAHARI LA RAHEEM STERLING BAADA YA KUHAMA LIVERPOOL.....

6594a8107584dd7da3293cc8b47e74ec_original


Raheem ameamua kuhama moja kwa moja kutoka Liverpool na kuhamia Manchester baada ya kuhamia kwenye club hiyo. Sterling ameweka sokoni jumba lake la kifahari lenye thamani ya pount 1.5m maarufu kwa jina la Merseyside Mansion.

Nyumba hiyo ambayo ni kama wanayoishia mastaa wa muziki wa Marekani inavitu mbalimbali ya kifahari. Pia ndani ya hiyo nyumba kuna Spa,Gym,Cinema Room,Uwanja wa basketball,Out door pool, Indoor pool na garden kubwa.

Hizi hapa ni picha 8 za jumba ambalo anauza.

0efcee9e0347fda04916b2b623a7651c_original
381bc4aeea1c2e2c178d8c96fbde6ec0_original
66524d9a2186177043dcb1fcd895c543_original
531450be267a2f3e33c13782ed972789_original
c4eaba5563eda458f7b79115cc949f21_original
c6a85d59dafb9770fd9906a4104ba84f_crop_north

d793e961fe62655e8591989695015fbc_original

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox