Raheem ameamua kuhama moja kwa moja kutoka Liverpool na kuhamia Manchester baada ya kuhamia kwenye club hiyo. Sterling ameweka sokoni jumba lake la kifahari lenye thamani ya pount 1.5m maarufu kwa jina la Merseyside Mansion.
Nyumba hiyo ambayo ni kama wanayoishia mastaa wa muziki wa Marekani inavitu mbalimbali ya kifahari. Pia ndani ya hiyo nyumba kuna Spa,Gym,Cinema Room,Uwanja wa basketball,Out door pool, Indoor pool na garden kubwa.
Hizi hapa ni picha 8 za jumba ambalo anauza.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni