Wakala maarufu kabisa kwenye biashara ya kuuza na kununua wachezaji Jorge Mendes hivi sasa inaripitiwa kwamba yupo Manchester kwa ajili ya mipango ya kukamilisha mpango wa usajili wa kipa David De Gea.
Mendes ana umaarufu wa kukamilisha madili ya uhamisho ambao unawafaidisha sana wateja wake. Huyu jamaa ni mkali kwenye kazi yake kama alivyo bwana Ed Woodward akiwa na Manchester.
Katika kipindi hiki kilichobaki cha usajili tuendelee kusubili kama kweli Real Madrid watafanikiwa kumsajili kipa David De Gea ikiwa wakala wake Mendes ameenda sehemu alipo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni