STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 16 Agosti 2015

TUKIO WALILOFANYA WEST HAM JANA BAADA YA KIPA WAO KUPEWA KADI NYEKUNDU

Mpenja Sports
Mlinda mlango mpya: Jenkinson akiondoa hatari langoni akiwa na jezi mpya kama golikipa

Carl Jenkinson, ilimlazimu kucheza kama kipa jana katika mchezo kati ya West Ham dhidi ya Leicester ambapo West Ham walipoteza mchezo huo kwa mabao 2-0, mchezo uliopigwa katika dimba la Upton Park, maskani kwa West Ham. 

Wagonga nyundo hao walikuwa wameshamaliza idadi ya wachezaji wao wanaotakiwa kufanyiwa mabadiliko, na mbaya zaidi ni pale kipa wao Adrian alipopewa kadi nyekundu na kumlazimu kutoka nje huku wakiwa hawaruhusiwa tena kufanya mabadiliko.


Kipa wa West Ham Andrian akizawadiwa kadi nyekundu


Jenkinson akielekea langoni kuchukua mikoba ya Andrian

Hapo ndipo mchezaji wa Arsenal anayecheza kwa mkopo katika klabu hiyo Jenkinson, alipopelekwa langoni ili kuziba nafasi ya Andrian, na kufanya vema kabisa akiwa langoni hapo.
"Nilihisi kadi ile nyekundu ilikuwa kidogo ya kikatili, sawa alinyoosha mguu juu lakini ilikuwa ni kwa bahati mbaya", alisema mchezaji huyo wa timu ya taifa ya Uingereza U-21 baada ya mchezo.
"Ilinibidi nikakae mimi golini lakini nashukuru sikuwa na kazi kubwa sana ya kufanya maana sikupata rapsha nyingi".

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox