STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 12 Agosti 2015

VILABU VINAVYO CHUKIWA ZAIDI NCHINI UINGEREZA.....


Manchester United ndio timu inayoongoza kwa kuchukiwa katika ligi kuu nchini Uingereza.

Kutokana na utafiti uliofanywa na gazeti la Mirror baada kuuliza kila mshabiki, kwamba ni timu gani anaichukua zaidi, United ikaonekana kuwa ndio klabu inayochukiwa zaidi kati ya zote.

Chelsea wanashika nafasi ya pili huku Liverpool, Manchester City na Tottenham wakimalizia tano bora.


ORODHA HII HAPA::

Klabu na wastani wa asilimia 

Man Utd- 68 
Chelsea - 65 
Liverpool -60 
Man City - 53 
Tottenham - 46 
Arsenal  -41 
Stoke     -41 
Newcastle -39 
West Ham  -37 
Aston Villa  -32 
Sunderland  -30 
Crystal Palace-24 
Leicester  -21 
Everton    - 21 
Norwich    -18 
Watford     -15 
Swansea   -13 
Southampton -11 
Bournemouth - 9

Maoni 1 :

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox