Manchester United ndio timu inayoongoza kwa kuchukiwa katika ligi kuu nchini Uingereza.
Kutokana
na utafiti uliofanywa na gazeti la Mirror baada kuuliza kila mshabiki,
kwamba ni timu gani anaichukua zaidi, United ikaonekana kuwa ndio klabu
inayochukiwa zaidi kati ya zote.
Chelsea wanashika nafasi ya pili huku Liverpool, Manchester City na Tottenham wakimalizia tano bora.
ORODHA HII HAPA::
Klabu na wastani wa asilimia
Man Utd- 68
Chelsea - 65
Liverpool -60
Man City - 53
Tottenham - 46
Arsenal -41
Stoke -41
Newcastle -39
West Ham -37
Aston Villa -32
Sunderland -30
Crystal Palace-24
Leicester -21
Everton - 21
Norwich -18
Watford -15
Swansea -13
Southampton -11
Bournemouth - 9
Afadhari
JibuFuta