Manchester
United walikuwa ni miongoni mwa klabu ambazo zimetumia kiasi kikubwa
cha pesa kwa ajili ya usajili kwenye dirisha la usajili la majira ya
joto msimu huu.
Wamewasajili wachezaji wenye gharama kubwa lakini pia
walishindwa kuwasajili baadhi ya wachezaji ambao walikuwa kwenye orodha
ya wachezaji ambao waliwahitaji kwa ajili ya kuboresha kikosi chao.
Hii ni orodha ya wachezaji 10 ambao Van Gaal alijaribu kuwasajili lakini hakufanikiwa.
10.Hugo Lorris (Tottenham)
Lakini bado mambo hayakwenda sawa baada ya Madrid
kushindwa kumnasa golikipa huyo wa Uhispania.
9.Harry Kane (Tottenham)
8.Arda Turan (Barcelona)
7.Neymar (Barcelona)
Van Gaal alitoa dau kubwa kwa ajili
ya mshambuliaji huyo wakati akifahamu haitakuwa kitu rahisi kumnasa
Neymar.
6.Pedro (Barcelona)
5.Raphael Varane (Real Madrid)
4.Sergio Ramos (Real Madrid)
Van Gaal alikaribia
kumnasa lakini katika hatua za mwisho kabisa Ramos akakubali kuongeza
mkataba na kusalia Santiago Bernabeu.
3.Karim Benzema (Real Madrid)
2.Gareth Bale (Real Madrid)
Lakini nyota huyo ataendelea kusalia Bernabeu baada ya kuongeza
mkataba wake na Los Bloncos.
1.Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Alikuwa mchezaji namba moja kwenye rada za
Manchester United baada ya mkali huyo wa Ureno kuendeleza makali yake ya
kufunga akiwa Santiago Bernabeu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni