STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 6 Septemba 2015

WACHEZAJI 10 BORA WANAOONGOZA KUWA NA MASHABIKI WENGI TWITTER ......

Ndio maana sio suala la kushangaa ama kuuliza kwa nini Cristiano Ronaldo aliamua kutumia akaunti yake ya Twitter kuitangaza kampuni moja ya ushonaji ya nchini Ureno, vile vile kwa nini Wayne Rooney aliamua kuposti picha ya Nike katika viatu vya kuchezea mpira wa gofu?


Jibu ni kwamba, hela ndio chanzo ya hayo yote. Utafiti unaonesha kwamba wachezaji kama Ronaldo, Rooney na Neymar wanaweza kupata maelfu ya pauni kwa tweet moja tu kutoka kwa baadhi ya wadhamini wao wakubwa ulimwenguni. 

Orodha hii ya wachezaji wenye thamani kubwa katika mtandao wa Twitter, si tu kwa wanandinga bali pia hata kwa wachezaji wa michezo mingine kama vile staa wa NBA LeBron James na Kevin Durant ambao wote kwa pamoja wanaingia kwenye orodha hii.


Ronaldo inasemekana amejikusanyika kiasi cha pauni 169,280 kwa tweet yake dhidi ya bidhaa ya Nike.


Hii ndio orodha ya mastaa mbalimbali wa michezo ulimwenguni wanaoongoza kwa kunufaika na mtandao wa Twitter.
Arsenal playmaker Mesut Ozil recently retweeted a post by German sports brand adidas

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox