Wakati soka la vilabu likiwa katika mapumziko kupisha mechi za kimataifa, bado vilabu hivyo vimeendelea kutengeneza vichwa vya habari duniani kote. Leo hii imetolewa listi ya vilabu/wachezaji ambao jezi zao zinaongozwa kwa kuuza ulaya..
Listi imetolewa na wa mtandao wa Kitbag.com na kuoredhesha majina ya wachezaji 10 ambao jezi zenye namba zao zinaongoza kwa kuuzwa barani ulaya.
LISTI KAMILI IPO HIVI
1) Lionel Messi – Barcelona
2) Cristiano Ronaldo – Real Madrid

3) Memphis Depay – Manchester United

4 Bastian Schweinsteiger – Manchester United

5) Eden Hazard – Chelsea

6)Rooney – Manchester United

7) Neymar – Barcelona
9) Alexis Sanchez – Arsenal
10) Philippe Coutinho – Liverpool



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni