STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 12 Novemba 2015

MCHEZAJI APEWA MARASHI KISA DIEGO COSTA..........

 Stoke

Mchezaji wa Stoke City Ryan Shawcross ameahidiwa manukato ya kumtosha mwaka mmoja baada ya mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa kuonekana kutofurahishwa na harufu ya mwili wake.

Wawili hao walijibizana baada ya kukabiliana wakati wa mechi hiyo ambayo Stoke walishinda 1-0 Jumamosi iliyopita.

Costa alionekana kunusa makwapa yake mwenyewe na kisha kumuelekezea kidole Shawcross kabla ya kujishika pua.

"Tumehakikisha Ryan Shawcross anajipaka marashi yake jioni hii," mkewe difenda huyo wa umri wa miaka 28, Kath aliandika kwenye Twitter baada ya mechi hiyo.
Shawcross alijiunga na meneja wa klabu hiyo Mark Hughes katika mkutano wa mashabiki wa Stoke ambako alikabidhiwa marashi hayo ya kumtosha mwaka mmoja.

"Costa alipokuwa akiniangazia badala ya kuangazia mechi, sisi tulijishindia mechi,” Shawcross aliambia mkutano huo.

"Yeye ni mchezaji nyota sana na nina furaha kwamba nilimnyamazisha.”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox