STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 8 Novemba 2015

REKODI YA RONALDO DHIDI YA SEVILLA NAYO INA MAAJABU YAKE, HAKUNA ALIYEWAHI KUIWEKA...............



Kama hukuwahi kusikia hili, acha nikueleze kuhusiana na ubabe wa Cristiano Ronaldo dhidi ya Sevilla.

Mreno huyo tayari amefunga hat trick tano katika mechi ambazo amekutana na kikosi hicho kigumu tokea alipotua Madrid akitokea Manchester United.
Pia amefunga jumla ya mabao 19 dhidi ya timu hiyo maarufu kama Andalusian. Alianza kuiadhibu katika mechi ya msimu wa 2010-11 alipofunga mabao manne katika ushindi wa 6-2.
Baada ya ushindi huo, Ronaldo aliendelea kufunga hat trick moja katika kila msimu dhidi ya timu hiyo, rekodi ambayo haijawahi kuwekwa na mchezaji yoyote yule tokea kuanza kwa La Liga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox