STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 8 Novemba 2015

FRANK RIBERY KAKISHTAKI KITUO CHA CCN CHA NCHINI MAREKANI..............

Winga wa kikataifa wa Ufaransa na klabu ya FC Bayern Munich Frank Ribery amekishtaki kituo cha Television cha Marekani CNN akikidai fidia ya $1.5m sawa na billion 3.2 za kibongo.
 
Ribery amefungua kesi hiyo baada ya kituo hicho cha TV kutumia picha ya mwanasoka huyo katika kuelezea story juu ya matibabu ya cryotherapy – matibabu yanayohusisha kuuweka mwili kwenye sehemu kavu au yenye baridi kali ili kupunguza maumivu au kuponyesha kabisa.

“Mr Franck Ribéry … hakutoa ruhusa ya matumizi ya picha ile kwa kituo cha CNN,” alisema Carlo Alberto Busa ambaye ni mwanasheria wa Ribery wakati akiongea na radio ya Ufaransa – RMC

Picha hiyo ya Ribery ilionekana kwenye akaunti ya Twitter ya CNN na Ribery alionekana kwenye box la cryotherapy huku picha ikisindikizwa na kichwa cha habari kifuatacho: “Mwanamke hakutwa ameganda kwenye box la cryotherapy, matibabu haya yazua maswali.” 
  Busa aliongeza: “Mr Franck Ribéry na familia yake wamenielekeza niende kwenye mahakama nchini Ufaransa kufungua kesi ya kudai fidia isiyopungua $1.5m”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox