STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 9 Novemba 2015

RONALDO AZINDUA FILAMU YAKE LONDON, FERGUSON, MOURINHO ,FALCAO WATIA TIMU.....


Cristiano Ronaldo amefanya uzinduzi wa filamu yake ya  Ronaldo.

Uzinduzi umefanyika jijini London, England na kuhudhuriwa na wageni kibao ila Alex Ferguson ndiye alionekana kuwa mgeni aliyevutia zaidi.
 
Ronaldo alimkaribisha Ferguson kwa mashamsham ikiwa ni pamoja na kumkumbatia.
Kocha Jose Mourinho aliyewahi kuwa bosi wa Ronaldo pale Real Madrid pia alijitokeza.
Wachezaji mbalimbali pamoja na watangazaji walijitokeza uzinduzi huo wa filamu.
Ronaldo aliongozana na mama yake mzazi, maria Dolores pamoja na mtoto wake, Ronaldo Jr.

AKIWA NA FARGUSON..

...AKIMKUMBATIA.



FALCAO...

NEVILLE...

CARLO ANCELOTTI NA WAKALA WAKE

MOURINHO

MTANGAZAJI WA MICHEZO, HAYLEY MCQUEEN


AKIWA NA MWANAYE NA MAMA YAKE MZAZI..


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox