STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 14 Novemba 2015

WENGER KIKAANGONI ATAKIWA KUTOA UFAFANUZI KUHUSU UTUMIAJI MADAWA.................

 Tokeo la picha la WENGER

 Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ametakiwa Shirikisho la Soka Uingereza afafanue kuhusu matamshi aliyoyatoa kuhusu matumizi ya dawa za kutitimua misuli.

Wenger, mwenye umri wa miaka 66, wiki hii amenukuliwa akisema "mimi sijawahi kuwadunga sindano wachezaji wangu eti ndio wacheze vizuri zaidi „lakini kuna timu tumewahi kukutana nazo ambazo hazina mtazamo huu".

Alikuwa akizungumza wakati wa mahojiano ya L'Equipe baada ya mchezaji wa Dinamo , kufanyiwa uchunguzi wa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu na vipimo vyake kupatikana na kasoro kufuatia ushindi wa mechi ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Arsenal.

FA imemtaka Wenger awasilishe habari kuhudu madai hayo ambazo huenda labda anazo.

 Tokeo la picha la WENGER

Vipimo vya kiungo wa kati Arijan Ademi vilipatikana na dosari hizo baada ya timu yake ya Dinamo kulaza Arsenal 2-1 mjini Zagreb. 

Sampuli zake zingine zingali zinachunguzwa na zikithibitishwa kuwa na kasoro huenda akapigwa marufuku.

Wenger amekuwa akitoa wito kuwe na mapambano makali dhidi ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox