STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 14 Novemba 2015

LEO NDO LEO FERGUSON DHIDI YA ANCELOTTI,BONGE LA MECHI OLD TRAFFORD ZIDANE,RONALDINHO,BECKAM,SCHOLES KUKINUKISHA........

Beckham took to Instagram on Friday to reveal his and Zinedine Zidane's shirts for Saturday's match

MENEJA wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson ataongoza Kikosi cha Timu ya Great Britain and Ireland XI ambacho Kepteni wake atakuwa David Beckham kwenye Mechi ya Hisani siku ya leo jumamosi.
 
Timu hiyo ya Uingereza na Ireland itapambana na Kikosi cha Dunia ambacho Nahodha wake atakuwa Lejendari wa Ufaransa Zinedine Zidane chini ya Meneja Carlo Ancelotti.

Refa wa Mechi hiyo itakayochezwa leo Uwanja wa Old Trafford Jijijni Manchester ni Nguli wa Italy Pierluigi Collina.

Mechi hii ya Hisani ni kwa ajili ya kuchangisha Fedha kwa ajili ya Mfuko wa Shirikisho la Umoja wa Mataifa la Kusaidia Watoto, UNICEF.
 Beckham's South America venue was Buenos Aeries, where he posed with some children for a picture
 Beckham akiwa South America nchini Argetina, Buenos Aeries

Ferguson, mwenye Miaka 73, alistaafu Soka Mwaka 2013, baada ya kutwaa Makombe 38 katika Miaka yake 26 huko old Trafford akiwa Meneja wa Man United.

Beckham, ambae pia alikuwa Nahodha wa England, aliichezea Man United Mechi 394 kwa Miaka 11 kabla kuhamia Real Madrid Mwaka 2003.

Akiongelea Mechii hii, Beckham, mwenye Miaka 40, alisema: 

“Kila Mtu anajua nilistaafu Miaka Mitatu ilitopita na sikutegemea kama nitavaa Viatu tena na kucheza. Lakini Soka ina mvuto mkubwa na kuwa na Zidane Uwanjani, Sir Alex Ferguson na Carlo Ancelotti pembeni, nadhani Watu watafurahia.”

Beckham, ambae ni Balozi Maalum wa UNICEF, aliongeza: “Mechi hii ni mahsusi kuleta mwamko na kuchangisha Fedha kusaidia Watoto wenye kuhitaji msaada.”

David Beckham (right) and his former Real Madrid team-mate Zinedine Zidane (left) in 2005 at the Bernabeu
David Beckham (kulia) na Zinedine Zidane (kushoto)  2005- Bernabeu
Ryan Gigs (back) embraces Beckham (front) after the former England captain scores against Leicester
Ryan Gigs (nyuma) na Beckham (mbele) wakishangilia baada ya Beckam kufunga dhidi ya Leicester
Cafu celebrates with the World Cup in 2002, Beckham said his longevity and consistency were 'incredible'
Cuf nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil
Beckham (left) and Nicky Butt (right) played for Manchester United and England from a young age
Beckham (kushoto) na Nicky Butt (kulia) wakiwa Manchester United

Ronadlinho will line up for the rest of the world XI
Michael Owen will play alongside Beckham
   Michael Owen kushoto na  Ronaldinho  kulia                                                                                                               

Former Arsenal captain Patrick Vieira will also line up against Beckham in the charity match on Saturday
Ptrick Viera mchezaji wa zamani wa Arsenal

  UNICEF MATCH FOR CHILDREN LINE-UPS 

 Former Manchester United great Sir Alex Ferguson (left) will manage Beckham's team at Old Trafford                                                Ferguson akiwa na Beckam 

Great Britain and Ireland squad: David Beckham (Captain), David Seaman, David James, Sol Campbell, John Terry, Phil Neville, Jamie Carragher, Ashley Cole, Nicky Butt, Paul Scholes, Ryan Giggs, Michael Owen, Andy Cole.

Manager: Sir Alex Ferguson.

 Tokeo la picha la anceloti and zidane
                                                   Ancelotti akiwa na Zidane
 
Rest of the World squad: Zinedine Zidane (Captain), Edwin van der Saar, Cafu, Fabio Cannavaro, Alessandro Nesta, Luis Figo, Ronaldinho, Patrick Vieira, Michael Ballack, Massimo Ambrosini, Robert Pires, Dwight Yorke, Patrick Kluivert, Ole Gunnar Solskjaer, Landon Donovan

Manager: Carlo Ancelotti 
Referee: Pierluigi Collina

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox