STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 13 Novemba 2015

MAGAIDI WATIKISA JIJI LA PARIS,MABOMU YARINDIMA UFARANSA WAKICHEZA NA UJERUMANI..............



  Stade de France explosion kills three in Paris after Germany-France match
 Hali si shwari jijini Paris, Ufaransa mara baada ya magaidi kufanya mashambulio makubwa mawili ya risasi na moja la bomu karibu na uwanja uliokuwa unachezewa mechi kati ya timu ya taifa ya Ufaransa na Ujerumani, Stade de France usiku wa kuamkia leo.

Mauaji Paris 1Magaidi hao walifanya mashambulizi katika ukumbi mmoja wa starehe ‘Concert Hall’ na kuua watu wasiopungua 149 hadi hivi sasa kabla ya polisi kuwakabili.

Mauaji Paris
Hali hiyo ilileta hofu kubwa kiwanjani baada ya milio mikubwa ya makombora kusikika wakati wachezaji wakiwa wanacheza mpira huku raisi wa nchi (Ufaransa) akiwa nae uwanjani kushuhudia mechi hiyo ya kirafiki.
 Hundreds of supporters make their way out of the Stade de France after being held there for their safety following Friday night's drama 
Oliver Giroud aliifungia goli Ufaransa na kuipa ushindi timu yake wa magoli 2-0 dhidi ya ujerumani ambayo kocha wake Joachim Low ametaja hofu kubwa miongoni mwa timu yao ilipunguza morali mara baada ya mabomu kusikika karibu na hoteli yao.
 French president Francois Hollande (left) pictured on the telephone in the security control room at the Stade de France watches on 
Rais wa Ufaransa Francois Hollande (kushoto) akiwasiliana na maafisa wa usalama uwanjani Stade de France 


Taarifa zinasema huenda kusiwepo na mechi ya kirafiki Jumanne hii kati ya England na Ufaransa iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa Wembley jijini London. 
 The distressing scenes in the French capital have sent shockwaves across social media, leaving millions of users stunned worldwide


Vyama vya soka vya FA na FFF vitatoa ripoti hivi karibuni kuhusiana na hilo.

Hali si shwari, rais wa Ufaransa ametangaza hali ya hatari nchini humo huku mipaka ikifungwa na jeshi linaendelea na kazi yake. 

Mauaji Paris 3 

 Police officers secure the stadium during France's game with Germany at the Stade de France

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox