STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 13 Novemba 2015

POLISI WAWAONDOA WACHEZAJI WA UJERUMANI KWENYE HOTELI WALIYOFIKIA KISA BOMU HOTELINI HAPO


Polisi wamelazimika kuwatoa wachezaji wa timu ya taifa Ujerumani mjini Paris, Ufaransa baada ya kuwepo kwa taarifa ya bomu.

Taarifa hizo zilitolewa na mtu mmoja aliyejiita raia mwema akidai kuna bomu eneo hilo.
 
Ilikuwa ni saa 3:50 asubuhi, Polisi wa Ufaransa walipolazimika kufika hotelini hapo na kuwaondoa wachezaji hao wa timu ya taifa ya Ujerumani walio mjini hapo kujiandaa na mechi yao kirafiki dhidi ya wenyeji Ufaransa, leo.

Hata hivyo uchunguzi wa mwisho wa polisi baadaye ulibaini eneo hilo lilikuwa salama.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox