STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 10 Januari 2016

BAADA YA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA AFRIKA KWA LIGI ZA NDANI, SAMATA APATA ZALI JINGINE

Samata-Bwana58021
Kocha wa taifa stars Charles Boniface Mkwasa amemteua Mbwana Ally Samata kuwa nahosha wa timu ya taifa "Taifa stars" akimpoka linzi wa yanga Nadir Haroub Cannavaro.

Mkwasa amesema kuwa Mbwana atakuwa nahodha wa timu hioy akisaidiwa na Nadir Haroub sambamba na John Bocco, huku Nadir akiwa nahodha wa timu ya taifa kwa chezaji wanaocheza soka la ndani.

Mkwasa maesema nimatumaini yake Mbwana Samata ataisaidia timu ya taifa kufikia malengo yake ndio maana ameamua kuteuwa yeye na kuwa Samata na tabia za uongozi hivyo ataiongoza vyema Taifa stars

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox