STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 9 Januari 2016

BAADA YA OSCAR NA COSTA KUZINGUANA MAZOEZINI TIZAMA MATUKIO MENGINE YA KUGOMBANA MAZOEZINI.............

 The duo engaged in a conversation as they wrapped up for the cold weather ahead of their FA Cup clash

Tukio la  alhamis la nyota wawili wa Chelsea Diego Costa na Oscar Dos Santos kutaka kugombana baada ya kuchezeana rafu mazoezini wakati wa maandalizi ya mchezo wa kombe la FA jumamosi dhidi ya Scunthorpe United utakaopigwa katika dimba la Stamford Bridge.
 Spain striker Costa (back left) was also pictured smiling with team-mate Kenedy and coach Steve Holland

Inadaiwa Costa alimchezea rafu mbaya Oscar kisha muda mfupi baadae Oscar akajibu kwa kumkanyaga gotini Costa ambaye alikuja juu akamkwida na kutaka kurushia ngumi kabla ya kuamulia na wachezaji wenzao. 

 Diego Costa (left) and Oscar appear to have put their confrontation behind them as they were pictured together

Ingawa Oscar alikanusha kwa wale waliokuwa wanasambaza ujumbe kanakwamba hawapatani na Diego Costa.
 
 Oscar denied the incident with one his his best friends Costa took place on Twitter in English and Portuguese
 Tukio hili ni la pili kuikumba Chelsea baada ya mapema mwezi uliopita Charly Musonda na Cesc Fabregas nao kuwa karibu kugombana baada ya Fabregas kukasirika kufuatia kupigwa tobo na Musonda.

TIZAMA HAPA CHINI BAADHI YA MATUKIO YA KUGOMBANA MAZOEZINI:

Miquel Nelom na Tonny Vilhena wachezaji wa  Feyenoord's wakigombana mazoezini walipokuwa kambi Ureno.

There were shocking scenes as Balotelli squared up to his manager Robert Mancini in January 2013

Mario Balotelli and Micah Richards had to be separated by James Milner at Man City in 2011
Mario Balotelli na  Micah Richards wakiamuliwa na James Milner walipokuwa wakigombana pindi walipokuwa  Man City  2011
Joleon Lescott also acted as peacemaker following the training ground bust-up that was caught on camera

Manchester City duo Kolo Toure and Emmanuel Adebayor scrap in training back in January 2011
 Kolo Toure na Emmanuel Adebayor wakigombana na kuamuliwa na wachezaji wenzao walipokuwa Manchester City January 2011.

Sweden players Freddie Ljungberg and Olof Mellberg wrestled during World Cup preparations in 2002
Wachezaji wa timu ya taifa ya Sweden Freddie Ljungberg {kushoto}na  Olof Mellberg wakipambana kama wanacheza mieleka wakati wa maandalizi ya kombe la Dunia mwaka 2002.

John Hartson's kick on West Ham team-mate Eyal Berkovic in 1998 shocked the football world
John Hartson's akimpiga teke mchezaji mwenzake wa West Ham  Eyal Berkovic mwaka 1998 atika mazoezi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox