STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 3 Januari 2016

HAKI ZA RUNINGA ZA LIGI KUU ENGLAND ZAZIDI KUPAA, AFRICA YAMWAGA PAUNI MILIONI 98.6


Premier League imezidi kushika umaarufu wa juu kutokana na kiwango kikubwa cha malipo ya haki za TV nje ya England.

Kwa sasa Premier League kupitia msimu wa 2016 hadi 19 itaweza kuingiza hadi paunik bilioni 3.2 wakati wakati inaanza kujulikana kwa jina hilo msimu wa 1992-93 ilikuwa inaingiza kitita cha pauni milioni 8 tu kwa haki za kuonyeshwa kwa dunia nzima.

Marekani ndiyo wanaonekana kulipa fedha nyingi zaidi kwani watatoa hadi pauni milioni 109.6 wakifuatiwa na nchi za Ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara, Tanzania ikiwa ndani ambao wanamwaga pauni milioni 98.6.

Umaarufu wa ligi hiyo umekuwa ukizidi kupaa kwa kasi na kuchangia kuziongezea klabu hizo kiwango kikubwa cha faida kupitia haki hizo za uonyeshaji wa mechi za Ligi Kuu England.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox