STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 6 Januari 2016

MOURINHO NI NOMA,FERGUSON AONESHA MFANO WA KUIGWA,WENGER HAVUMI ILA YUMO,TIZAMA MAKOCHA WENYE KUJUA KUTUMIA FEDHA KATIKA USAJILI NDANI YA MIAKA 10................




Nimekuwekea idadi ya makocha kumi katika kipindi cha miaka kumi iliyopita katika kazi yao ya ukocha ndani ya vilabu mbalimbali gharama za fedha walizo tumia kufanya usajili, lakini pia baadhi ya wachezaji ambao makocha hawa walitumia fedha nyingi kuwasajili.

ORODHA YA MAKOCHA 10 WALIOTUMIA FEDHA NYINGI KATIKA USAJILI KIPINDI CHA MIAKA 10:

1 - Jose Mourinho – £619m
2 - Manuel Pellegrini – £597m
3 - Carlo Ancelotti – £466m
4 - Roberto Mancini – £441m
5 - Pep Guardiola – £382m
6 - Rafa Benitez – £376m
7 - Louis van Gaal – £337m
8 - Arsene Wenger – £333m
9 - Brendan Rodgers – £287m
10 - Sir Alex Ferguson – £281 m

    WACHEZAJI WALIO WANUNUA KWA FEDHA NYINGI:

 
Jose Mourinho 
£32m – Diego Costa
£30m – Andriy Shevchenko
£30m – Willian
 
Manuel Pellegrini
£80m – Cristiano Ronaldo
£54m – Kevin De Bruyne
£49m – Raheem Sterling
 
Carlo Ancelotti
£85m – Gareth Bale
£63m – James Rodriguez
£50m – Fernando Torres
 
Roberto Mancini
£40m – Sergio Aguero
£27m – Edin Dzeko
£25m – Samir Nasri

 
Pep Guardiola
£40m – Zlatan Ibrahimovic
£35m – Cesc Fabregas
£34.2m – David Villa
 
Rafa Benitez
£34.5m – Gonzalo Higuain
£22.6m – Danilo
£22.5m – Mateo Kovacic
 
Louis van Gaal
£59.7m – Angel di Maria
£36m, rising to £57.6m – Anthony Martial
£31.5m – Luke Shaw
 
Arsene Wenger
£42.5m – Mesut Ozil
£35m – Alexis Sanchez
£16m – Santi Cazorla
 
Brendan Rodgers
£32.5m – Christian Benteke
£29m – Roberto Firmino
£25m – Adam Lallanhttp://www.manchesterlalala.com/wp-content/uploads/2015/09/sir-alex-ferguson.jpga

Sir Alex Ferguson
£30m – Dimitar Berbatov
£28m – Juan Veron
£27m – Rio Ferdinand

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox