Barcelona imemtuza kiungo wake mkabaji, Javier Mascherano kuwa
mchezaji bora wa msimu wa 2013-14.
Mascherano amezawadiwa tuzo ya Aldo Rovira kwa kuwa na mchango
mkubwa zaidi msimu uliopita.
Tuzo hiyo imetolewa leo kwenye Uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na
Barcelona.
Aliyemkabidhi tuzo hiyo ni Josep LluÃs Rovira, mmoja wa
wakurugenzi wa Barcelona.
Tuzo hiyo ilipewa jina la Aldo Rovira baada ya kufariki kwenye
ajali. Wengine waliowahi kushinda tuzo hiyo iliyoanzishwa mwaka 2009 ni hawa
wafuatao.
Leo Messi:
(2012-13, 2010-11 na 2009-10)
Éric Abidal:
(2011-12).
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni