STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 17 Februari 2016

MOURINHO NA MAN UNITED WAMESHAMALIZANA, USHAHIDI UKO HAPA

MENEJA wa zamani wa Tottenham Hotspurs, Harry Redknapp amedai kuwa Manchester United wameshakamilisha mazungumzo ambayo yatamfanya Jose Mourinho kuwa meneja mpya ajaye katika klabu hiyo. 

Mourinho amekuwa akitajwa kama chaguo sahihi kwa United kutokana na meneja wa sasa Louis van Gaal kushindwa kupata matokeo mazuri. 

Van Gaal mwenyewe amedai United hawawezi kufanya mzungumzo na Mourinho bila kufahamu lakini Redknapp amesema tayari dili la ujio wake limeshakamilika. 

Akihojiwa Redknapp amsema Van Gaal hajapata mafanikio yeyote toka atue United hivyo itakua vigumu kwa viongozi wa klabu hiyo kumvumilia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox