STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 28 Desemba 2015

ASHINDWA KUSAJILIWA NA BARCELONA KISA KUISHABIKIA REAL MADRID..........................



Sergi Guardiola (second left) was unveiled by Barcelona on Monday but later had his contract terminated Sergi Guardiola wa pili kushoto

 Kiungo Sergi Guardiola mwenye miaka 24 amekumbwa na mkosi pale alipokuwa anasajiliwa kuichezea Fc Barcelona kutokana na posti yake katika akaunti yake ya Twita.


One Tweet called another Twitter user a Catalonian wh*** in 2013 and showed his support for Real MadridSiku ya Jumatatu mchezaji huyo mwenye asili ya Hispania alitakiwa kusajiliwa kuitumikia Barcelona B lakini kutokana na kuposti katika akaunti ya Twita miaka miwili iliyopita {2013} kuishabikia Real Madrid kumefanya ashindwe kusajiliwa na kuonekana ni adui wa Catalan


The insults and claimed he would leave the Twitter user a little photo of her cousinMchezaji huyo alipohojiwa na moja ya chombo cha habari Hispania alisema  ''ujumbe huo ulitumwa na rafiki yake ambae alitumia akaunti yake"





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox