STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 29 Oktoba 2014

TWITTER YAMPONZA RIO, ASIMAMISHWA MECHI TATU, FA YAMPIGA FAINI KWA KUMTUSI SHABIKI

Beki mkongwe wa QPR, Rio Ferdinand amesimamishwa kuichezea timu yake mechi tatu.

Kama haitoshi Shirikisho la Soka England limempiga faini ya pauni 25,000.

Rio ameingia kwenye mgogoro huo baada ya kumkashifu mmoja ya mtu aliyekuwa akijibizana naye kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter.
Beki huyo wa zamani wa Man United alimtaka mtu huyo kumteua mama yake ili acheze vizuri.
Ingawa aliandika Septemba Mosi, lakini FA imeamua kuchukua uamuzi huo sasa lakini ikaeleza yuko huru kukata rufaa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox