ROONEY AKIWA MAZOEZINI LEO. |
Sasa ni uhakika nahodha wa
Man United, Wayne Rooney ataanza mechi ya Jumapili dhidi ya Man City.
Rooney amemaliza adhabu ya
kadi nyekundu. Lakini Man United itamkosa tena mshambuliaji wake mzoefu Radamel
Falcao ambaye bado ni majeruhi.
Mechi hiyo ya Jumapili
kwenye dimba la Etihad inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka duniani.
MANCHESTER DERBY
ZILIZOPITA:
2013-14 - United 0-3 City, City 4-1
United
2012-13 - United 1-2 City, City 2-3
United
2011-12 - City 1-0 United, City 2-3
United (FA Cup), United 1-6 City
2010-11 - City 1-0 United (FA Cup),
United 2-1 City, City 0-0 United,
2009-10 - City 0-1 United, United
3-1 City (League Cup), City 2-1 United (League Cup), United 4-3 City
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni