STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 31 Oktoba 2014

SASA UHAKIKA ROONEY KUANZA JUMAPILI DHIDI YA CITY, FALCAO NJE

ROONEY AKIWA MAZOEZINI LEO.
Sasa ni uhakika nahodha wa Man United, Wayne Rooney ataanza mechi ya Jumapili dhidi ya Man City.

Rooney amemaliza adhabu ya kadi nyekundu. Lakini Man United itamkosa tena mshambuliaji wake mzoefu Radamel Falcao ambaye bado ni majeruhi.
Mechi hiyo ya Jumapili kwenye dimba la Etihad inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka duniani.
MANCHESTER DERBY ZILIZOPITA:
2013-14 - United 0-3 City, City 4-1 United
2012-13 - United 1-2 City, City 2-3 United 
2011-12 - City 1-0 United, City 2-3 United (FA Cup), United 1-6 City
2010-11 - City 1-0 United (FA Cup), United 2-1 City, City 0-0 United,
2009-10 - City 0-1 United, United 3-1 City (League Cup), City 2-1 United (League Cup), United 4-3 City

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox