STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 2 Novemba 2014

BAO LA AGUERO LAIMALIZA MAN UNITED


 
Man City imeshinda bao 1-0 dhidi ya Manchester United katika mechi iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa nchini England na duniani kote.

Mechi hiyo iliyokuwa ‘tamu’ na yenye ushindani mkubwa imeisha kwa wenyeji hao kuibuka na ushindi huo baada ya Sergio Aguero kufunga bao katika dakika ya 63.
Aguero raia wa Argentina aliunganisha krosh kutoka kushoto ya Gael Clichy baada ya mabeki wa United kumsahau.

Man United licha ya kuwa pungufu baada ya beki wake Chris Smalling kulambwa kadi nyekundu ilijitahidi kusawazisha lakini wapi bana!
Smalling alilambwa kadi ya njano ya pili iliyozaa nyekundu katika dakika ya 39.









Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox