STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 25 Novemba 2014

10 WAINGIA KWENYE ORODHA FUPI KUWANIA TUZO YA BBC

WANAMICHEZO 10 wameingia kwenye orodha fupi ya kuwania tuzo ya Mwanamichezo Bora wa BBC kwa mwaka 2014.
Miongoni mwao ni mcheza Golf Rory McIlroy, atakayechuana na mwakasoka Gareth Bale, mcheza sarakasi Max Whitlock, mkimbiza wa magari ya langa langa Formula 1, Lewis Hamilton na mwogeleaji Adam Peaty.
Wamo pai bondia Carl Froch, Charlotte Dujardin, Mwanariadha Jo Pavey na mchezaji wa michezo ya walemavu Kelly Gallagher.


Lewis Hamilton akiwa na mpenzi wake, Nicole Scherzinger baada ya kuwasiliLondon akitokea Abu Dhabu alikoshinda mbio za Langa Langa mwishoni mwa wiki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox