STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 25 Novemba 2014

ARGENTINA YAPANGWA NA URUGUAY COPA AMERICA 2015, BRAZIL NA COLOMBIA


MAKUNDI YALIVYO... 

KUNDI A: Chile, Mexico, Ecuador, Bolivia
KUNDI B: Argentina, Uruguay, Paraguay, Jamaica
KUNDI C: Brazil, Colombia, Peru, Venezuela
TIMU ya Argentina imepangwa pamoja na Uruguay katika Kundi B kwenye michuano ya Copa America mwakani, 2015.
Droo hiyo
pia
imezikutanisha Colombia na wenyeji wa Kombe la Dunia 2014, Brazil. Michuano hiyo itakayofanyika nchini Chile, itashuhudia timu hizo mbili za Amerika Kusini zikikutana tena kwa mara nyingine, baada ya kukutana mara mbili hivi karibuni.
Brazil iliitoa Colombia katika Robo Fainali ya Kombe la Dunia Julai, kabla ya Neymar kufunga bao la ushindi katika mechi ya kirafiki baina ya mataifa hayo mawili Septemba. 
Barcelona's Lionel Messi will lead Argentina in the Copa America, which will be held in Chile
Nyota wa Barcelona, Lionel Messi ataiongoza Argentina kwenye Copa America ambako wamepangwa pamoja na Chile

RATIBA YA COPA AMERICA HATUA YA MAKUNDI

JUNI 11 - Chile v Ecuador (Kundi A)
JUNI 12 - Mexico v Bolivia (Kundi A)
JUNI 13 - Uruguay v Jamaica (Kundi B)
JUNI 13 - Argentina v Paraguay (Kundi B)
JUNI 14 - Colombia v Venezuela (Kundi C)
JUNI 14 - Brazil v Peru (Kundi C)
JUNI 15 - Ecuador v Bolivia (Kundi A)
JUNI 15 - Chile v Mexico (Kundi A)
JUNI 16 - Paraguay v Jamaica (Kundi B)
JUNI 16 - Argentina v Uruguay (Kundi B)
JUNI 17 - Brazil v Colombia (Kundi C)
JUNI 18 - Peru v Venezuela (Kundi C)
JUNI 19 - Mexico v Ecuador (Kundi A)
JUNI 19 - Chile v Bolivia (Kundi A)
JUNI 20 - Uruguay v Paraguay (Kundi B)
JUNI 20 - Argentina v Jamaica (Kundi B)
JUNI 21 - Colombia v Peru (Kundi C)
JUNI 21 - Brazil v Venezuela (Kundi C) 
Chilean president Michelle Bachelet holds a replica of the Copa America trophy
The president of the Uruguayan Football Association (AUF) Wilmar Valdez holds the trophy during the ceremony
Rais wa Chile, Michelle Bachelet akiwa ameshika taji la Copa America (kushoto), wakati Rais wa Shirikisho la Soka Uruguay (AUF), Valdez akiliwasilisha Kombe hilo wakati upangwaji wa droo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox