KLABU
ya Real Madrid ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya
wamethibitisha ubora na thamani yao baada ya kutoa wachezaji nane katika
uwaniaji wa tuzo ya kikosi bora cha Ulaya.
Tuzo hiyo ya Uefa
ya mwaka 2014 itakayotolewa hivi karibuni inajumuisha
pia
wachezaji wanne
kutoka AtleticoMadrid
ambao pia wanaiwania.
Wanaowania
kuingia kwenye 1st Eleven ya mwaka ya Uefa ni kama ifuatavyo;
Kutoka Madrid : Carvajal, Ramos, Kroos, Modric, James, Bale, Benzema na Cristiano
Ronaldo.
Bayern wenyewe wametoa wachezaji sawa kama Real Madrid nao ni Neuer, Alaba, Benatia,
Boateng, Lahm, Xabi Alonso, Müller na Lewandowski.
Upande wa
Atletico Madrid iliyotoa wachezaji wanne ambao ni Koke, Arda, GodÃn na Miranda.
Wengine waliopo kwenye kinyang'anyiro hicho ni Xabi Alonso (Bayern Munich) na Di MarÃa (Manchester
United), Courtois (Chelsea), Diego Costa (Chelsea).
Kwa upande wa
Barcelona imetoa wachezaji watatu ambao ni Rakitic, Neymar na Messi. Pia mchezaji wa Red Bull Salzburg Jonathan Soriano naye yupo kwenye mbio hizo za kuwepo kwenye First Eleven.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni