STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 14 Novemba 2014

MESUT OZIL NJE KWA WIKI 7

Arsenal wamepata pigo baada kuibuka habari kuwa Kiungo wao kutoka Germany Mesut Ozil anahitaji Wiki 7 zaidi ili apone vizuri Goti lake.
Ozil aliumia mwanzoni mwa Oktoba wakati Arsenal inafungwa 2-0 na Chelsea na ilitegemewa atarejea Uwanjani mwishoni mwa Mwezi huu lakini hii Leo mwenyewe amethibitisha kuwa hataweza kucheza hadi Mwakani.
Hii Leo Ozil ametoboa: “Niko nje kwa Wiki 5 na ntakuwa nje kwa Wiki nyingine 7!”
The France striker (right) has returned early to training after suffering a serious ankle injury in August
Hali hii itampa kiwewe zaidi Meneja Arsene Wenger ambae pia anao Majeruhi wa muda mrefu Olivier Giroud na Mathieu Debuchy huku Sentahafu Laurent Koscielny akiungana nao baada kupata tatizo la Musuli.
Hata hivyo, habari njema kwa Arsenal ni kupona kwa kasi kwa Straika wao Olivier Giroud ambae alivunjika Mguu kwenye Mechi na Everton Mwezi Agosti.

Giroud alifanyiwa operesheni Agosti 27 lakini hivi sasa ameanza tena Mazoezi mepesi.
Mechi inayofuata kwa Arsenal ni Novemba 22 Uwanjani Emirates dhidi ya Manchester United.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox