STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 25 Mei 2015

MSHAHARA MPYA WA SAID NDEMLA BAADA YA KUANGUKA MITATU SIMBA HUU HAPA...

Ndemla (kulia) akisaini mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva (kushoto)

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba wameanza harakati za kuwabakisha nyota wake waliomaliza mikataba baada ya jioni ya leo kumsainisha mkataba wa miaka mitatu (3) kiungo wake mchezeshaji, Said Ndemla.
Ndemla amesaini mkataba huo mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva wenye thamani ya shilingi milioni 40 za Kitanzania jumlisha gari aina ya IST.
Nyota huyo zao la Simba B atakuwa analipwa mshahara wa milioni mbili (2) kwa mwezi.
25 May 2015

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox