STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 27 Mei 2015

SANCHEZ AMFUNIKA EDEN HAZARD ...


MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Alexis Sanchez amefanikiwa  kutwaa tuzo ya mashabiki ya mchezaji bora wa PFA msimu wa 2014/2015.
Sanchez amepata mafanikio hayo katika msimu wake wa kwanza ikimshinda winga wa Chelsea,  Eden Hazard.
Nyota huyo raia wa Chile amefanikiwa kuifungia Arsenal magoli 16 na kutoa pasi za mwisho nane katika mechi za ligi kuu England.
Sanchez ambaye ni miongoni mwa wachezaji 10 waliotajwa kuwania tuzo hiyo na amepata jumla ya kura laki mbili (200,000) akiwapiku Hazard na mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox