STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 22 Novemba 2015

BENZEMA PEKEE ALIIBUKA MAZOEZINI REAL JANA BAADA YA KICHAPO KUTOKA KWA BARCA JUZI.............

Busquets gets to grips with Benzema as Barca dismantled the home side in a 4-0 El Clasico thumping MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Karim Benzema jana alikuwa mchezaji pekee aliyecheza timu hiyo ikifungwa 4-0 na Barcelona Uwanja wa Santiago Bernabe katika La Liga kuripoti mazoezini.
 
Mfaransa huyo aliibuka mazoezini viwanja vya Valdebebas kuungana na wachezaji ambao hawakucheza El Clasico Jumamosi akina Casemiro, Alvaro Arbeloa and na Lucas Vazquez.

 Luisa Suarez alifunga mabao mawili katika ushindi huo, wakati Neymar na Andres Iniesta kila mmoja alifunga bao moja, Real ikipoteza mechi ya kwanza ya La Liga nyumbani baada ya mechi 23. 
 
Kikosi kizima cha Real kinatarajiwa kufanya mazoezi kamili leo kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Shakhtar Donetsk

Real Madrid striker Karim Benzema holds off the challenge of Barcelona midfielder Sergio Busquets 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox