Mfaransa huyo aliibuka mazoezini viwanja vya Valdebebas kuungana na wachezaji ambao hawakucheza El Clasico Jumamosi akina Casemiro, Alvaro Arbeloa and na Lucas Vazquez.
Luisa Suarez alifunga mabao mawili katika ushindi huo, wakati Neymar na Andres Iniesta kila mmoja alifunga bao moja, Real ikipoteza mechi ya kwanza ya La Liga nyumbani baada ya mechi 23.
Kikosi kizima cha Real kinatarajiwa kufanya mazoezi kamili leo kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Shakhtar Donetsk
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni