STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 27 Novemba 2015

MASIKINI RONALDO THAMANI KUSHUKA, NEYMAR KUMPIGA GEPU.......................

Licha ya kuwa mwaka 2015 staa wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kufanya mipango yake mingi na kwa asilimia kubwa kufanikiwa, miongoni mwa ishu alizofanya Cristiano Ronaldo kwa mwaka 2015 ni kuzindua movie ya maisha yake halisi, perfume, viatu vyake lakini hii sio taarifa njema kwake.
football-boots-cristiano-ronaldo-nike-safari-launch
Kutoka El Economista wametangaza kuwa kampuni ya vifaa vya michezo ya kimarekani Nike imetangaza kumtaja staa wa FC Barcelona Neymar kuwa ndio staa namba moja kwa sasa anayeuza brand ya bidhaa zao, rekodi ambayo ilikuwa inashikiliwa na Ronaldo kwa miaka kadhaa ila November 27 Neymar ndio ameandikwa kumzidi Ronaldo.

neymar-promo-nike-reuters
Stori kutoka 101greatgoals.com inatajwa kuwa Neymar kwa mwaka 2016 ndio anatazamiwa kuwa staa atakayefanya vizuri kwa mauzo ya Nike na ndio maana kwa sasa anatajwa kuwa namba moja na Ronaldo kushuka, licha ya kuwa Ronaldo amefanya vizuri kwa miaka kadhaa. 

Ronaldo na Neymar wote wanamkataba wa kutangaza bidhaa za Nike

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox