STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 28 Novemba 2015

KUELEKEA MCHEZO DHIDI YA MANCHESTER UNITED,HUYO NDO VARDY MBELE YA VAN NISTELROOY................


Jamie Vardy vs Ruud van Nistelrooy: Two Premier League record-breaking strikers... but
 Wachezaji hawa wote wamefunga magoli 10 katika michezo 10 mfululizo huku mshambuliaji wa zamani wa Manchester united,Van Nistelooy akiwa wa kwanza kuiweka rekodi hiyo mwaka 2003 kwenye mchezo dhidi ya Newcastle kabla mshambuliaji wa Leicester City,Jamie Vardy kuifikia katika mchezo dhidi ya Newcastle United.

Endapo Vardy atafunga dhidi ya Manchester United atakuwa kaweka rekodi mpya ya kufunga magoli 11 kwenye michezo 11 katika historia ya ligi kuu ya nchini Uingereza tangu kuanza kwake 1992.

Lakini pia anatakiwa kufunga magoli 12 kwenye michezo 12 kufikia rekodi ya gwiji wa zamani wa Ireland na vilabu vya Shamrock Rovers B, New Brighton,Sheffield united,Arsenal,Sothampton na Shamrock Rovers James "Jimmy" Dunne.
 Jimmydunne.jpg

Jimmy alipokuwa Sheffield United 1926-1934 alifanikiwa kufunga magoli 12 katika michezo 12












msimu wa 1931-1932 katika ligi daraja la kwanza kwa sasa ni ligi kuu tangu 1992

























1 - Manchester United 3-0 Fulham (March 22, 2003)
Van Nistelrooy
Ruud van Nistelrooy was the first player to score in 10 successive Premier League games



1 - Bournemouth 1-1 Leicester (August 29, 2015)
Vardy
Jamie Vardy matched the Dutchman's feat with a strike last Saturday

2 - Manchester United 4-0 Liverpool (April 5, 2003)
Van Nistelrooy strikes against Liverpool at Old Trafford

2 - Leicester 3-2 Aston Villa (September 13, 2015)
Vardy (bottom right) slides in to score against Aston Villa

3 - Newcastle 2-6 Manchester United (April 12, 2003)
Another penalty saw Van Nistelrooy score at St James' Park

3 - Stoke 2-2 Leicester (September 19, 2015)
Vardy celebrates his equalising goal at the Britannia Stadium


 4 Arsenal 2-2 Manchester United (April 16, 2003)
Van Nistelrooy's stunning finish past Arsenal keeper Stuart Taylor


4 - Leicester 2-5 Arsenal (September 26, 2015)
Petr Cech was helpless to stop Vardy's pinpoint finish

5 - Manchester United 3-1 Blackburn Rovers (April 19, 2003)
The Dutchman nodded the ball in to score against Blackburn
 
5 - Norwich 1-2 Leicester (October 3, 2015)
There was no stopping this penalty from Leicester's main man

6 Tottenham 0-2 Manchester United (April 27, 2003)



6 - Southampton 2-2 Leicester (October 17, 2015)
Even Virgil van Dijk had no chance of catching Vardy here 

7 - Manchester United 4-1 Charlton (May 3, 2003)



7 - Leicester 1-0 Crystal Palace (October 24, 2015)
This was the easy bit after Vardy chipped the keeper
 
8 - Everton 1-2 Manchester United (May 11, 2003)
Van Nistelrooy slotting the ball home from the penalty spot again

8 - West Bromwich Albion 2-3 Leicester (October 31, 2015)
Vardy took advantage of all his own good work against West Brom 

9Manchester United 4-0 Bolton (August 16, 2003)
The United striker slams the ball home against Bolton

9 - Leicester 2-1 Watford (November 7, 2015)
Heurelho Gomes sent Vardy tumbling to concede the penalty 

10 Newcastle 1-2 Manchester United (August 23)
Newcastle goalkeeper Shay Given watches as Van Nistelrooy scores 
10 - Newcastle 0-3 Leicester (21 November 2015)
Vardy left Newcastle's Moussa Sissoko (right) for dead in this strike


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox