STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 21 Desemba 2015

HIVI NDIVYO ARSENAL WATAKAVYO SHEREKEA CHRISTMAS YAO VYEMA......................

  Petr Cech shows off his musical pedigree as Arsenal goalkeeper drums along to medley of
TIMU ya Arsenal imeweka hai matumaini ya ubingwa, kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates.
 Walcott salutes the home crowd after the 33rd-minute goal against Manchester City, with Ozil offering directions to his defenders
Ushindi huo unaifanya Arsenal iendelee kukamata nafasi ya pili kwa kufikisha pointi 36, baada ya kucheza mechi 17, ikizidiwa pointi mbili na vinara Leicester City.
 
Theo Walcott's goal was at the end of a super move - CLICK HERE for Sportsmail's brilliant matchzone service
Manchester City inaendelea kubaki nafasi ya tatu kwa pointi zake 32 za mechi 17, wakati Tottenham Hotspur ni ya nne kwa pionti zake 29 sawa na Manchester United, zote zikiwa zimecheza mechi 17 pia.


Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia bao la pii jana

Mshambuliaji wa England, Theo Walcott alianza kuifungia Arsenal dakika ya 33 Uwanja wa kwa pasi ya kiungo Mjerumani Mesut Ozil aliyemsetia pia mshambuliaji Mfaransa Olivier Giroud kufunga la pili dakika ya 46.
 Toure and Sergio Aguero stare at the turf despondently after Giroud fired in a second before the break in north London
Sergio Aguero alirejea uwanjani jana baada ya kukosekana muda mrefu kutokana na majeruhi, lakini akacheza kwa dakika 63 tu kabla ya kumpisha Wilfried Bony baada ya kushindwa kufunga.
 Ramsey - deployed in a deeper role than usual - strides beyond Fernandinho (left) and City captain  Toure in midfield
Mwanasoka Bora wa Afrika, Yaya Toure ndiye aliyeifungia Manchester City bao la kufutia machozi dakika ya 82.

Kikosi cha Arsenal kilikuwa; Cech, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Flamini, Walcott/Chambers dk88, Ozil/Oxlade-Chamberlain dk76, Campbell/Gibbs dk70 na Giroud.

Manchester City; Hart, Sagna, Otamendi, Mangala, Kolarov, Fernandinho, Toure, Delph/Sterling dk46, De Bruyne, Silva/N
avas dk73 na Aguero/Bony dk63.
MSIMAMO WA EPL; 
 




















 PICHA ZA CECH,SANCHEZ NA MONREAL WAKIONESHA MAUJUZI YA KUTUMIA VYOMBO VYA MUZIKI KABLA YA MCHEZO WA MANCHESTER CITY;


Petr Cech got into the festive spirit by drumming along to a medley of Christmas classics
The former Chelsea man was joined by a guitar player dressed as Father Christmas in the YouTube video
Cech was joined by team-mates Nacho Monreal on the bells and Alexis Sanchez on the keyboard
Cech drums along to classic festive tunes 'We wish you a Merry Christmas' and 'Ding Dong Merrily on High'
The song is being released to coincide with the Gunners' clash against Manchester City on Monday night
Arsene Wenger and the first-team squad will donate a day's wages to the Arsenal Foundation

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox