STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 5 Juni 2018

YANGA USO KWA USO NA SIMBA KAGAME, WAMEPANGWA KUNDI MOJA ANGALIA RATIBA NZIMA YA MICHUANO HIYO

Klabu mbili mahasimu kutoka Tanzania, Simba na Yanga zimepangwa kundi moja kwenye michuano ya Kombe la Kagame inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Juni 28 hadi Julai 13, 2018 .
Rais wa TFF katikati kwenye picha, Wallace Karia.
Timu hizo zimepangwa kundi C ambapo zimeungana na klabu nyingine za St. George kutoka Ethiopia na Dakadaha Somalia.
Makundi hayo ya michuano ya Kagame Cup yametangazwa leo na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na makundi mengine ni kama ifuatavyo hapa chini.


Bingwa wa michuano hiyo atapata Dola $30,000 sawa tsh. milioni 68.4 na Mshindi wa pili Dola $20,000 ambazo ni sawa na milioni 45 huku mshindi wa tatu akiambulia Dola $10,000 sawa na milioni 22 za kitanzania.
Michuano ya CECAFA Kagame Cup kwa mwaka huu yanafanyika nchini Tanzania na yatarushwa mubashara na Azam TV.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox