STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 22 Aprili 2015

NEYMAR AIPELEKA BARCELONA NUSU FAINALI


BARCELONA imeshinda magoli 2-0 katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa barani ulaya iliyopigwa jana usiku uwanja wa Camp Nou dhidi ya PSG.
Magoli ya Barca yote mawili yamefungwa na Neymar Jr.
Kwa ushindi huo Barca wanafuzu kwa ushindi wa jumla wa magoli 5-1 kwani mechi ya kwanza miini Paris Ufaransa walisjinda 3-1.







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox