STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 22 Aprili 2015

BAYERN MUNICH HATARIIIII, WAULIZE FC PORTO.....


BAYERN Munich imeichapa mabao 6-1 FC Porto ya Ureno katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa ulaya iliyopigwa Allianz Arena, mjini Munich, Ujerumani.Watu wengi walifikiri Bayern anatoka kutokana na kipigo cha 3-1 walichovuna jumatano iliyopita, lakini walijidanganya licha ya timu hiyo kukosa baadhi ya wachezaji nyota.

Katika mechi hiyo ya marudiano ya robo fainali wenyeji hao walipata mabao yao kupitia kwa Thiago Alcantara, Robert Lewandowski aliyefunga mawili, Thomas Muller, Jerome Boateng na Xabi Alonso wakati wageni walipata bao pekee kutoka kwa Martnez.
maana yake munich wamefuzu kwa jumla ya mabao 7-4 dhidi ya wareno hao. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox