STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 20 Aprili 2015

PACHA WA FELLAINI ALIMCHANGANYA MOURINHO

Sikia hii kali, Kocha Jose Mourinho aliambiwa kiungo mrefu wa Man United, Marouane Fellaini hatacheza mechi dhidi ya Chelsea.



Kisa, mfungua mlango wa hoteli alimueleza Mourinho kwa Fellaini alikwenda kuchukua tiketi za kuingia katika mechi hiyo kwa mmoja wa wachezaji wa Chelsea.

Kumbe, mfungua mlango huyo wa hoteli alijichanganya kwa kuwa mtu huyo alikuwa ni pacha wa Fellaini aitwaye Mansour.

Baadaye Mourinho akaingia kuingia kwenye mtandao na kugundua yule mhudumu wa alijichanganya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox