STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 27 Agosti 2015

C.RONALDO NA SUAREZ WAANGUKIA PUA, MESSI MWANASOKA BORA BARANI ULAYA....

Messi poses for pictures with the trophy after being announced as UEFA's Best Player in Europe

NYOTA wa Barcelona, Lionel Messi amempiku hasimu wake mkubwa, Cristiano Ronaldo na mchezaji mwenzake wa Barca, Luis Suarez katika tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Ulaya msimu wa 2014-15.

Messi ameshinda tuzo hiyo  mara ya pili katika sherehe zilizofanyika ukumbi wa Monte Carlo mjini Monaco, Ufaransa jioni hii baada ya kupangwa kwa ratiba ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Messi's name is displayed on the big screen after he was announced as the winner

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ujeruman,i Celia Sasic ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Kike wa Mwaka Ulaya akiwa tayari ametangaza atastaafu soka tangu mwezi uliopita. 

Sasic amewapiku mchezaji mwenzake wa Ujerumani, Dzsenifer Marozsan na Amandine Henry wa Ufaransa alioingia nao fainali.

Germany's Celia Sasic (left) is presented with the UEFA Best Women Player in Europe award by Platini



Mjerumani Celia Sasic akipokea tuzo kwa rais wa Uefa PLatin ya mchezaji bora wa kike wa UEFA

Sasic (centre) is congratulated by fellow contender Dzsenifer Marozsan (left) after winning the award
Dzsenifer Marozsan akimpongeza Celia Sasic


BEST PLAYER IN EUROPE:

WINNER: Lionel Messi (Barcelona)
Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Luis Suarez (Barcelona) 

BEST WOMEN PLAYER IN EUROPE:                     

WINNER: Celia Sasic (Retired)
Dzsenifer Marozsan (1. FFC Frankfurt)
Amandine Henry (Lyon)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox