STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 27 Agosti 2015

HAYA NDIO MAKUNDI YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE, ARSENAL KAZI WANAYO,CHELSEA NA MANCHESTER MTEREMKO......




Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa) liko katika hatua za mwisho kupanga makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Kila kigogo ameishajua baada ya shughuli hiyo kumalizika muda mchache uliopita huku matajiri wa soka duniani Real Madrid wakipangwa Kundi A lenye timu za PSG, Malmo na Shaktar.

Mabingwa watetezi Barcelona wako kundi E linaloonekana ubwete wakati Manchester United nayo imepata kundi si gumu lenye timu za PSV na CSKA.

Arsenal wameangukia kundi, Kundi F lenye Bayern Munich, Dinamo Zagreb na Olimpiacos. Na Chelsea wako Kundi G lenye Porto na Dynamo Kiev.

Angalia makundi hayo nane yenye timu nne kila moja zinazowania kusonga mbele kwa kuwa kila kundi litatoa timu mbili kutentengeneza 16 bora ambayo itatoa timu nane zitakazokwenda robo fainali.

KUNDI A
Paris(FRA)
Real Madrid(ESP)
Shakhtar Donetsk(UKR)
Malmo (SWE)
KUNDI B
PSV(NED)
Man. United(ENG)
CSKA Moskva(RUS)
Wolfsburg (GER)
KUNDI C
Benfica(POR)
Atlético(ESP)
Galatasaray(TUR)
Astana (KAZ)
KUNDI D
Juventus(ITA)
Man. City(ENG)
Sevilla(ESP) 
Monchegladbach (GER)

KUNDI E
Barcelona(ESP)
Leverkusen(GER)
Roma(ITA)
Bate (BLR)
KUNDI F
Bayern(GER)
Arsenal(ENG)
Olympiacos(GRE)
Dinamo Zagreb (CRO)
KUNDI G
Chelsea(ENG)
Porto(POR)
Dynamo Kyiv(UKR)
M. Tel Aviv (ISRAEL)
KUNDI H
Zenit(RUS)
Valencia(ESP)
Lyon(FRA)
Gent (BEL)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox