STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 16 Agosti 2015

DIAMOND USO KWA USO NA VAN PERSIE, AMSHUHUDIA AKISAIDIA USHINDI UTURUKI




Si ulisikia ile ishu ya yule dogo mwenye miaka mitano aliyelipiwa usafiri yeye na familia yake na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ili akamuone straika Robin van Persie ambaye alimwaga chozi baada ya kusikia amehama Man United?

Louis Diamond ni shabiki mkubwa wa Man United, lakini leo akiwa na wadogo zake amevaa jezi ya Fernabahce na kukutana na shujaa wake.
Ilikuwa furaha ya aina yake wakati alipojumuika live na van Persie ambaye alimliza kwa uchungu ile mbaya.
Diamond pia alipata nafasi ya kumuona van Persie akiitumikia Fenerbahce ambayo iliibuka na ushindi wa mabao  2-0 kati Ligi Kuu ya Uturuki dhidi ya Eskisehirspor.

Diamond sasa moyo mweupee na yu tayari kurejea Engaland sasa.
ALIPOWASILI AKIWA NA WAZAZI WAKE


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox