STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 28 Agosti 2015

EUROPA LEAGUE DRAW: LIVERPOOL KUANZA NA RUBIN KAZAN, SPURS KUPIGA MASAFA MPAKA AZERBAIJAN.

KLABU ya Liverpool, inatarajiwa kusafiri kwenda Urusi baada ya kupangwa kundi moja na Rubin Kazan katika michuano ya Europa League. Liverpool iliyo chini ya meneja Brendan Rodgers pia wanatarajiwa kupambana na Bordeaux ya Ufaransa na FC Sion ya Uswisi katika kundi lao. Kwa wa Tottenham Hotspurs wao wanakabiliwa na safari ndefu ya kuifuata Qarabag ya Azerbaijan huku pia wakipangwa kucheza na Anderlecht ya Ubelgiji na Monaco ya Ufaransa. 
Celtic ambao waling’olewa katika hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, wao watavaana na Ajax Amsterdam ya Uholanzi, Fenerbahce ya Uturuki na Molde ya Norway katika kundi lao. Kila inatarajiwa kucheza mechi sita katika makundi yao huku mechi za kwanza zikitarajiwa kuchezwa Septemba 17 mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox