STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 11 Septemba 2015

WACHEZAJI WATANO BORA AMBAO VAN GAAL AMEWAHI KUWAFUNDISHA..

Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amemtaja Wayne Rooney katika orodha ya wachezaji matano bora ambao amewahi kuwafundisha katika maisha yake ya soka.

Akizungumza katika hafla moja uliyoandaliwa na mashabiki wa timu hiyo juzi usiku, Van Gaal, ambaye amewahi pia kuzifundisha timu za AZ, Ajax, Barcelona, Uholanzi na Bayern Munich, amemsifu Rooney kuwa ndiye nahodha bora kati ya manahodha wote aliwahi kuwa nao na kutoa orodha hiyo ya wachezaji watano bora ambao amewahi kufanya nao kazi...

WAYNE ROONEY


LUIS FIGO


RONALD DE BOER

PHILIPP LAHM

BASTIAN SCHWEINSTEIGER

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox