STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 10 Novemba 2015

CHELSEA NA WEST HAM WAADHIBIWA NA FA.................



Chama cha soka nchini England (FA) kimewatoza Chelsea na West Ham adhabu ya £50,000 (Chelsea) na £40,000 (West Ham) kwa kushindwa kuwadhibiti wachezaji wao kwenye ya iliyopita ya Premier League wakati vilabu hivyo vilipoumana Upton Park.

Vilabu vyote viwili vimekiri mashtaka hay ya FA ya utovu wa nidhamu na wameonywa kutorudia tena tabia hiyo.

Mechi hiyo iliisha kwa West Ham kushinda kwa 2-1 ambapo kiungo wa Chelsea, Nemanja Matic alitolewa kwa kadi nyekundu kabla ya mapumziko.

Bosi wa Chelsea Jose Mourinho na kocha wake msaidizi Silvino Louro wote walitolewa kwenye benchi la ufundi baada ya kukwaruzana na mwamuzi Jonathan Moss.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox